Makamu wa Rais wa Tanzania, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi leo tarehe 25 Agosti 2026, amemuandikia barua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kumjulisha kuwa ameamua kustaafu Siasa na Utumishi wa Umma hivyo atajiuzulu nafasi ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuzingatia Ibara ya 50(2)(c) ikisomwa kwa pamoja na Ibara ya 149(2) ya Katiba kuanzia tarehe 04 Septemba 2026.
Kwenye barua yake aliyoiweka katika ukurasa wake wa Instagram, Dr. Nchimbi ameeleza yafuatayo “Tarehe 27 Agosti 2025 nilimuahidi Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa nitamsaidia yeye na Nchi yetu kwa uwezo wangu wote na kwa uaminifu, pia nilimuhakikishia kuwa siku yoyote akiona anahitaji Makamu mwingine wa Rais nitaachia nafasi hii”
Support authors and subscribe to content
This is premium stuff. Subscribe to read the entire article.






